TUPANDE MITI YA MATUNDA KUKIDHI KIWANGO KINACHOHITAJIKA KWA SIKU.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO, ni kuwa ulaji wa angalau gramu 400(pungufu kidogo ya nusu kilo) za matunda na mboga kwa siku zinatuepusha na hatari ya kupata magonjwa yanayosumbua jamii nyingi duniani hivi leo. Magonjwa haya zaidi ni yale yasiyo ya
uambukizi kama kisukari, shinikizo la damu, kiharusi na mengine mengi. Pia ulaji wa matunda na mboga mboga utatusaidia kupata viini lishe kama fiba, vitamini, madini katika viwango sahihi vinavyohitajika kwa siku.
uambukizi kama kisukari, shinikizo la damu, kiharusi na mengine mengi. Pia ulaji wa matunda na mboga mboga utatusaidia kupata viini lishe kama fiba, vitamini, madini katika viwango sahihi vinavyohitajika kwa siku.

yafuatayo:-
- Tuhakikishe kuwa nyumbani kwetu hapakosekani bustani za mboga na matunda.
- Kila wakati hakikisha katika mlo wako haukosi mboga za majani.
- Hakikisha haukosi matunda ya kila msimu, mfano embe, nanasi, chungwa, mastafeli, papai, fenesi,parachichi na mengineyo mengineyo mengi.
- Kula aina tofauti za matunda na mboga za majani
0 comments:
Post a Comment